Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Antonio ConteChelseaChelsea Champions

Conte akataa kukubali kua Chelsea ni miongoni ya timu zenye nafasi ya kuchukua ubingwa.


Kocha wa Chelsea Antonio Conte amekataa kwa mara pili kukubali kama Chelsea ni miongoni ya timu zenye nafasi ya kuchukua ubingwa msimu huu,Chelsea wamekua na kiwangu kizuri baada ya kushinda mechi sita mfululizo huku wakiwa hawajaruhusu goli hata moja ila wao wakiwa wamefunga magoli 17. Conte alisema "Nina furaha tumeshinda ,echi sita mfululizo kwa sababu ligi ni ngumu ila ni ngumu kujibu kama tunaweza kutwaa ubingwa sababu mwezi moja na nusu uliopita Chelsea walifungwa mechi mbili muhimu dhidi ya Arsenal na Liverpool.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib