Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaEden HazardHazard ContractThe Guardian

Eden Hazard:Sitaondoka Chelsea mpaka tutakaposhinda makombe


Winga machachali wa Chelsea Eden Hazard amesema hataondoka klabu ya Chelsea mpaka atapofanikiwa kuisaidia klabu hiyo kushinda kombe lingine na kua mabingwa tena,Eden Hazard aliyasema hayo alipokua akiongea na mwandishi wa Gazeti la The Guardian na kumwambia nimeshaweka wazi siwezi kuondoka baada ya kua na kiwango kibaya msimu uliopita nitasalia hapa mpaka tutakaposhinda kombe.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib