Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Antonio ConteChelseaDiego Costa

Conte: Siku hizi Diego Costa ni muuaji wa kimya kimya.


Diego Costa siku zote ni muhimu sio akiwa anafunga tuu hata kwa mchango wake katika safu ya mashambulizi na sasa kocha wa Chelsea Conte anamwagia sifa nyota huyo kua ni muuaji wa kimya kimya. Conte anasema kua baada ya Diego Costa kujifunza kutuliza hasira zake amekua muuaji wa kimya kimya na amekua moja ya washamuliaji bora kabisa ulimwenguni. Anacheza vizuri sana na Eden Hazard pamoja na Predo kipindi cha nyuma watu walikua wakiniuliza tabia ya Diego Costa ila kwa sasa naamini akiendelea hivyo hivyo na uvumilivu atakua bora zaidi.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib