Klabu ya Chelsea waliandaa hafla ndogo ya kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka iliyowashirikisha makocha wa Chelsea na wachezaji huku kocha Antonio Conte akiongoza tafrija hiyo. Conte aliwashukuru wachezaji,makocha na wafanyakazi wengine wa Chelsea kwa kujituma kwao kuiwezesha Chelsea kuongoza ligi. Hafla hiy ilifanyika katika uwanja wa mazoezi wa Chelsea.







No comments:
Post a Comment