Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Ceser AzpilicuetaMkataba mppya Chelsea

Cesar Azpilicueta asaini mkataba mpya na Chelsea.


Beki wa kushoto na kulia wa Chelsea Cesar Azpilicueta amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu na nusu utakaomuweka darajani mpaka mwaka 2020,Azpilicueta atakua amefikisha mechi 200 na Chelsea kama atapangwa kwenye kikosi dhidi ya Sunderland katika mechi ya jumatano jioni.Mhispania huyo aliweka wazi kua anafuraha klabu kumpatia mkataba mpya kwani tangu anajiunga malengo yake ilikua ni kushinda vikombe na kuendelea kiuchezaji huku akisifia uhusiano mzuri kati ya makocha na wachezaji.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib