Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaDiego Costa Contractmkataba mpya

Chelsea wanataka kumpa Diego Costa mkataba utakaomuweka Chelsea mpaka atapoamua kustaafu soka.


Klabu ya Chelsea wnafikiria kumuongezea mfungaji magoli wao Diego Costa mkataba mpya ambao utambakisha Chelsea mpaka atakapoamua mwenyewe kustafu soka au kuondoka. Mkataba wa sasa wa Diego Costa unaisha mwaka 2019 na Chelsea wanataka kumuongezea miaka miwili zaidi kwenye mkataba mpaka 2021.Costa amekua na mchango mkubwa kwenye kikosi cha Chelsea akichangia kufunga magoli 13 msimu huu akiwa ameshafunga magoli 50 tangu ajiunge na klabu ya Chelsea akitokea Atletico Madrid

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib