Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaEden HazardSunderland

Eden Hazard aachwa kwenye kikosi kitachocheza dhidi ya Sunderland.


Winga matata wa Chelsea Eden Hazard ameachwa kwenye kikosi cha Chelsea kinachotarajiwa kuumana leo na klabu ya Sunderland kutokana na kupata jeraha katika mechi dhidi ya Chelsea na West Ham United, Mbrazil Willian anatazamiwa kuchukua nafasi ya winga huyo na itakua mara ya kwanza Willian kuanza mechi tangu mama yake afariki dunia.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib