Climb the mountains
ChelseaJuventusLeonardo BonucciLeonardo Bonucci mkataba mpyaSeria A
Leonardo Bonucci azikataa Chelsea na Manchester City kwa kuongeza mkataba na klabu yake ya Juventus.
Beki aliyekua anahitajika kwa gharama yoyote na klabu mbili za Uingereza,Chelsea na Man City Leonardo Bonucci 29 leo ametoa utata kuhusu klabu atahamia kwa kuongeza mkataba na klabu yake ya Juventus aliojiunga nao tangu mwaka 2010.Kwa upande wa Chelsea zinaweza kua habari nzuri kwa kinda Andreas Christensen ambaye ilitakiwa auzwe kama Chelsea wangemsajili Bonucci hivyo inategemewa kinda huyo atarudi Chelsea mwisho wa msimu ili kuchukua nafasi ya John Terry.
Tags: Chelsea
, Juventus
, Leonardo Bonucci
, Leonardo Bonucci mkataba mpya
, Seria A
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment