Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

AFCONAFCON 2017Baba RahmanChelseaGhana

Baba Rahman nje ya AFCON baada ya kupata majeraha,huenda akakaa nje ya uwanja mpaka mwisho wa msimu.


Beki wa Chelsea aliyetolewa kwa mkopo kwenda Schalke 04 amepata majeraha katika mashindano ya AFCON akiwa na timu yake ya taifa ya Ghana na inatazamiwa atakua nje ya uwanja mpaka msimu utapoisha, Baba anatazamiwa kusafiri kurudi Ujerumani ambapo atafanyiwa operesheni ya kifundo cha mguu. Nchi yake ya Ghana wamesema wako tayari kutoa mchango wao kwa mchezaji huyo huku wakimtaja kama mchezaji anayejituma sana uwanjani.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib