Climb the mountains
AFC BournemouthAsmir BegovicChelsea
Chelsea wawaambia Bournemouth watoe paundi milioni 12 kama wanataka kumsajili Begovic.
Klabu ya Chelsea ilikataa dau la paundi milioni 10 kutoka kwa AFC Bournemouth wanaotaka kumsajili kipa wa Asmir Begovic na kuwaambia watoe kiasi cha paundi milioni 12 kama wanataka kumsajili golikipa huyo wa akiba.
Tags: AFC Bournemouth
, Asmir Begovic
, Chelsea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment