Climb the mountains
AFC BournemouthBournemouth want John TerryChelseaJohn Terry
Bournemouth wanamtaka John Terry kwa mkopo.
Klabu ya Bournemouth imeweka wazi kua inamtaka nahodha wa Chelsea John Terry kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu. kocha wa Bournemouth Eddie Howe ambaye amepewa sifa nyingi kwa kumrudisha kiungo wa Arsenal Jack Wilshere kwenye kiwango chake cha awali alisema kua kama John Terry anataka kurudi kwenye kikosi cha kwanza basi hii ndio nafasi yake anachotakiwa kufanya ni kujiunga na sisi. Haifhamiki kama John Tery atakubali kwani alisema hafikirii kuichezea klabu nyingine yoyote zaidi ya Chelsea kwenye ligi ya Uingereza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment