Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaDiego CostaThomas Muller

Chelsea kumnunua Thomas Muller kama Costa ataondoka.


Klabu ya Chelsea imeainisha mipango yake ya kumnunua Mjerumani Thomas Muller ikiwa kinara wao wa mabao Diego Costa atailazimisha klabu hiyo imuuze nchini China,Diego Costa aliaachwa na Kikosi cha Chelsea kilichocheza dhidi ya Leicester ikielezwa kua aligombana na makocha Uwanjani ila pia sababu nyingine kubwa ikiwa ni kulazimisha timu hiyo kumuuza.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib