Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]



Baada ya kukosa mechi dhidi ya Leicester mshambuliaji huyo amerudi rasmi mazoezini katika klabu yake ya Chelsea ambapo awali ilielezwa kua aligombana na makocha wake na kususia mazoezi hivyo kocha Antonio Conte akaamua kumuacha kwenye kikosi chake lakini mapema wiki hii Costa alianz kuonekana kwenye uwanja wa mazoezi wa Chelsea Cobham akiwa anafanya mazoezi peke yake na baadae akijumuika na wenzake.Sababu kubwa iliyofanya Diego Costa kususia mazoezi ni dau kubwa kutoka klabu ya China ambao walikua tayari kumpa mshahara mara tatu zaidi ya anaolipwa Chelsea na kua mchezaji anayelipwa zaidi duniani.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib