Climb the mountains
AFC BournemouthChelseaLoan recallNathan Ake
Chelsea kumuita Nathan Ake kutoka Bournemouth
Klabu ya Chelsea inajiandaa kumuita beki wake kinda kutoka klabu ya AFC Bournemouth ambayo alikua akiichezea kwa mkopo, hii imekuja baada ya kinda huyo kuonyesha uwezo mkubwa kukaba pamoja na kufunga hivyo Chelsea wameamua kumiita ili awe sehemu ya kikosi cha msimu huu, ikumbukwe Nathan Ake ni kinda aliyebarikiwa kucheza nafasi mbali mbali kama beki wa kati,kushoto na kiungo mkabaji.
Tags: AFC Bournemouth
, Chelsea
, Loan recall
, Nathan Ake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment