Climb the mountains
Antonio ConteChelseaMichail AntonioWest Ham
Chelsea wanafikiria kutuma ofa kumsajili Michail Antonio kukiongezea nguvu kikosi chake kwenye mbio za ubingwa.
Klabu ya Chelsea wamemuweka winga na mshambuliaji wa West Ham United Michail Antonio katika orodha ya wechazaji inaowaangalia ili kuwasajili katika dirisha hili dogo ili kukiongezea nguvu kikosi chake. Antonio ndiye mchezaji wa West Ham mwenye magoli mengi msimu wa 2016/2017 akiwa na magoli 8 katika mechi 27.
Tags: Antonio Conte
, Chelsea
, Michail Antonio
, West Ham
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment