Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaChelsea to sell CostaChinaDiego CostaWorld record fee

Chelsea wasema milango iko wazi kwa klabu inayomtaka Diego Costa ila itatakiwa kuwalipa dau litakalovunja rekodi ya usajili paundi milioni 130.


Klabu ya Chelsea wako tayari kumuuza mshambuliaji wao Diego Costa msimu huu lakini kwa ada ya paundi milioni 130,mapema wiki iliyopita klabu moja ya China walikua tayari kutoa paundi milioni 80 kiasi ambacho Chelsea walikikataa na kupelekea mshambuliaji huyo kugomea mazoezi ya Chelsea ila kwa sasa Chelsea wameona ni bora kuweka kiwango kikubwa kitakachoshindwa kufikiwa au kama kikifikiwa wawe wamepata pese ya kumununu mshambuliji mwingine mwenye hadhi ya soka kidunia (World Class Player).

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib