Climb the mountains
Antonio ConteChelseaKocha bora wa mwezipremier league coach of the month
Conte awa kocha wa kwanza kushinda tuzo ya kocha bora wa mwezi mara 3 mfululizo.
Kocha wa Chelsea Antonio Conte ameshinda tena tuzo ya kocha bora wa mwezi safari hii akishinda tuzo ya kocha bora mwezi December, kwa ushindi huo Conte amekua kocha bora wa kwanza ligi kuu ya Uingereza kushinda tuzo hiyo mara 3 mfululizo. Antonio Conte amefanikiwa kukiongoza Kikosi cha Chelsea kushinda mechi 13 mfululizo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment