Climb the mountains
Antonio ConteChelseaDavid Luiz
David Luiz:Mapenzi ya Conte kwenye mpira yanatupa morali wachezaji.
David Luiz amesema jinsi kocha wa Chelsea Antonio anavyopenda soka kimewafanya wachezaji wengi kujituma zaidi. Beki huyo aliyerudishwa darajani na Antonio Conte aliweka wazi kua kwa Conte kila mechi ina umuhimu huku akisimulia jinsi Conte anavyokua anafuatilia kila kinachoendelea wakati wa mazoezi pamoja na kutoa maelekezo ambayo wachezaji huyafuata na ndio maana wachezaji wengi wamekua kwenye viwango vizuri msimu huu,aliendelea kusema kua Conte anajua uwezo na udhaifu wa kila mchezaji na amekua akiwafundisha kwa kuangalia kipi mchezaji anaweza zaidi na kipi hakiwezi David Luiz alimalizia kwa kusema Conte ni moja ya makocha wazuri waliowahi kumfundisha
Tags: Antonio Conte
, Chelsea
, David Luiz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment