Climb the mountains
ChelseaLigi kuuSouthamptonusajili januaryVirgil Van Dijk
Habari za hivi punde....Chelsea watuma ofa ya paundi milioni 60 kumsajili Virgil Van Dijk
Bila shaka nyota wa Southampton Virgil Van Dijk ndie mchezaji anayehitajika sana kwatika dirisha hili dogo la usajili na bila kupoteza muda klabu ya Chelsea imetuma ofa ya paundi milioni 60 kumnasa nyota huyo anayewaniwa na klabu kama Manchester United na City. Chelsea wanachukua hatua hiyo ili kuimalisha safu yao ya ulinzi.
Tags: Chelsea
, Ligi kuu
, Southampton
, usajili january
, Virgil Van Dijk
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment