Climb the mountains
#ZoumaIsBackAntonio ConteKurt Zouma
Kurt Zouma amshukuru Conte kwa kumpa nafasi baada ya kukaa nje ya uwanja kwa miezi 11.
Kinda wa Chelsea na timu ya taifa ya Ufaransa Kurt Zouma amemshukuru kocha wa Chelsea Antonio Conte kwa kumuamini na kumpa nafasi tena baada ya kupona majeraha yaliyomuweka nje ya uwanja kwa miezi 11,Kurt Zouma pia alitumia nafasi hiyo kuwashukuru madaktari kwa kua nae bega kwa bega katika kumtibu. Zouma alisema kua Conte alipofika alimwambia "Upone haraka kwani ukishapona ninataka ucheze" anasema maneno hayo yalimuongezea nguvu kwani alijisikia furaha kuona kocha wake anamuamini.
Tags: #ZoumaIsBack
, Antonio Conte
, Kurt Zouma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment