Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaConteliverpoolManchester CityManchester unitedswansea

Manchester United,City na Tottenham wa droo wakati Liverpool akikubali kufungwa tatu.


Wakati mbio za ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza zikiwa katika raundi ya lala salama lleo hii mahasimu wote wa Chelsea wameshindwa kufanya vizuri huku Tottenham akimshika shati Manchester City na kutoka droo ya 1 kwa 1 wakati Manchester united akinusurika kutolewa nishai na vijana Stoke City ila Liverpool akikubali kuchezea kichapo cha magoli matatu akiwa dimba la nyumbani kutoka kwa swansea kwa matokeo ya mechi kutampa nafasi zaid Chelsea kuusogelea ubingwa wa Uingereza kama atashinda mechi yake ya leo dhidi ya Hull City

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib