Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaChinese Super LeagueMikel ObiMikel to ChinaMikel to Tianjin TEDA

Mikel Obi aikataa Valencia aamua kujiunga na Klabu ya China.


Kiungo wa Chelsea John Mikel Obi amefuzu vipimo katika klabu Tianjin TEDA na pia ameshakubaliana nao makubaliano binafsi ya mkataba hivyo itafanya Mikel kua mchezaji wa pili wa Chelsea msimu huu kujiunga na klabu ya China. John mikel Obi amekaa Chelsea kwa takribani misimu 9 akiisaidia Chelsea kushinda makombe yafuatayo
  • Champions League-1
  • Premier League 2
  • FA Cup -2
  • Europa League-1
  • League Cup 2

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib