Climb the mountains
Antonio ConteChelseaChinaJoao Cancelolukaku
Conte anataka kumrudisha Lukaku darajani,pia anamfuatilia Joao Cancelo.
Taarifa kutoka ndani ya klabu ya Chelsea zinasema kua Meneja wa Chelsea Antonio Cote ameuambia uongozi wa klabu kua anamtaka mshambuliaji Romelu Lukaku wakati wa dirisha kubwa la usajili,ikumbukwe kua Conte aliwahi kuwaambia Chelsea kuhusu kumhitaji mshambuliaji huyo kabla ya msimu huu kuanza na bahati mbaya juhudi za Chelsea kumsajili hazikuzaa matunda hata hivyo Chelsea hawajapanga kumuuza au kumbadili Costa ila wanajihadhari ikiwa Costa atatimukia nchini China.Pia imeripotiwa Conte anamtaka beki wa Valencia Joao Cancelo ambaye pia anafukuziwa na klabu ya Barcelona na Real Madrid.
Tags: Antonio Conte
, Chelsea
, China
, Joao Cancelo
, lukaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment