Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Antonio GriezmannAtletico MadridChelseaManchester united

Chelsea wajiunga kwenye mbio za kumsajili Antonio Griezmann


Chelsea wameingia katika vita na klabu ya Manchester United wakichuana kuipata sahihi ya forward wa Atletico Madrid Antonio Griezmann. Kabla ya Chelsea kuanza kumfukuzia nyota huyo klabu ya Manchester United ndio ilikua klabu pekee iliyokua ikimfukuzia nyota huyo ila sasa itawabidi kuwashinda Chelsea kuhakikisha wanampata nyota huyo. Hata hivyo kwa klabu yoyote itakayofanikiwa kumsajili nyota huyo haitakua kazi rahisi kwani itahitajika kulipa paundi milioni 86 ili kumnunua mchezaji huyo.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib