Baada ya beki aliyekuwa akiwaniwa na klabu za Chelsea na Manchester united kukubali kujiunga na Liverpool,klabu ya Chelsea imeamua kumfukuzia kwa mara ya pili beki wa Juventus Bonucci. Chelsea walijaribu kumsajili beki huyo mwanzoni mwa msimu lakini walifua dafu baada ya Juventus kutaka kiasi kikubwa cha pesa,kwa sasa Chelsea wanatafuta beki mzoefu kwa ajili ya kuziba nafasi ya mkongwe wao John Terry ambaye ameondoka klabuni hapo baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa miaka zaidi ya 15.



No comments:
Post a Comment