Climb the mountains
BelgiumChelseaEden HazardHazard injured
Eden Hazard aumia Ubelgiji, kuna uwezekano atakosa mechi za mwanzo wa msimu.
Winga wa klabu ya Chelsea ambaye amekua na kiwango kizuri msimu huu akifanikiwa kuifungia Chelsea magoli 17 na kuisaidia kuchukua ligi kuu la Uingereza na kufika fainali ya kombe la FA amepata pigo baada ya kuumia kifundo cha mguu (Ankle) akiwa kwenye mazoezi na timu yake ya taifa. Kutokana na majeruhi hayo Eden Hazard hatacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Czech Republic na pia atakosa mechi ya kufuzu kombe la dunia dhini ya Estonia kwani inatazamiwa atakaa nje ya uwanja kwa wiki 8 akiuguza majeraha hayo pia anatazamiwa kukosa baadhi ya mechi wakati msimu mpya utakapoanza mwezi wa 8.
Tags: Belgium
, Chelsea
, Eden Hazard
, Hazard injured
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment