Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaEvertonlukakuManchester unitedMino Raiola

Chelsea waweka dau sawa na Manchester United kumsajili Lukaku.



Wakati ikioneonekana kua Manchester United wameshashinda katika mbio za kumsajili mshambuliaji wa Everton Romelu Lukaku imekua ngumu kwa klabu ya Chelsea kukubali kushindwa na sasa wameamua kutma ofa sawa na ya Manchester United ya paundi milioni 75 ili kumsajili nyota wao wa zamani ambaye walimuuza kwa takribani paundi milioni 30 tuu,pia Chelsea wamemuahidi kumpa Lukaku mshahara sawa na alioahidiwa na Manchester United lakini hapo tayari kumlipa wakala wake Mino Raiola, Mino Raiola anataka alipwe paundi milioni 12 kama sehemu ya kufanikisha uhamisho wa mteja wake.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib