Climb the mountains
ChelseaChelsea Summer transferInter MilanJose MourihnoJuventusManchester unitedNemanja maticTransfer window
Juventus,Inter MIlan wapigana vikumbo kumsajili Matic wakati Chelsea wakikwepa kumuuza kwenda Man United.
Klabu za Italy Juventus na Inter Milan zimeingia vitani kuipata saini ya nyota wa Chelsea Nemanja Matic ambaye klabu inataka kumuuza kwa ada ya paundi milioni 40,Manchester United walikua wakipewa kipaumbele cha kumsajili Matic ila kwa sasa Chelsea wanakwepa kumuuza nyota huyo kwenda Manchester baada ya kuwatibulia kwenye dili lao la Lukaku hata hivyo habari za chini zinasema Nemanja Matic anapendelea zaidi kujiunga na Manchester United ili akakutane na kocha wake wa zamani Jose Mourihno na kwa ajili ya masilahi bonafsi kwani klabu nyingi za Italy huwa zinashindwa kutoa mishahara mikubwa na mkataba mrefu kwa wachezaji wenye umri wa juu.
Tags: Chelsea
, Chelsea Summer transfer
, Inter Milan
, Jose Mourihno
, Juventus
, Manchester united
, Nemanja matic
, Transfer window
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment